Hesabu 16:48 - Swahili Revised Union Version48 Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema48 Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND48 Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza48 Alipofanya hivyo, pigo hilo lilikoma, naye akabaki katikati ya waliokufa na walio hai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu48 Haruni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu48 Haruni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI48 Akasimama kati ya hao waliokufa na hao waliokuwa wangali hai; tauni ikazuiwa. Tazama sura |