Hesabu 16:28 - Swahili Revised Union Version28 Musa akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kwamba BWANA amenituma, ili nifanye kazi hizi zote; kwa kuwa mimi sikuzifanya kwa akili zangu mwenyewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Hapo Mose akawaambia watu, “Hivi ndivyo mtakavyotambua kuwa Mwenyezi-Mungu ndiye aliyenituma kufanya mambo haya yote, wala siyo kwa matakwa yangu mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Hapo Mose akawaambia watu, “Hivi ndivyo mtakavyotambua kuwa Mwenyezi-Mungu ndiye aliyenituma kufanya mambo haya yote, wala siyo kwa matakwa yangu mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Hapo Mose akawaambia watu, “Hivi ndivyo mtakavyotambua kuwa Mwenyezi-Mungu ndiye aliyenituma kufanya mambo haya yote, wala siyo kwa matakwa yangu mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Ndipo Musa akasema, “Hivi ndivyo mtakavyojua kuwa Mwenyezi Mungu amenituma kufanya mambo haya, na kwamba halikuwa wazo langu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Ndipo Musa akasema, “Hivi ndivyo mtakavyojua kuwa bwana amenituma kufanya mambo haya, na kwamba halikuwa wazo langu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI28 Musa akasema, Kwa jambo hili mtajua ya kwamba BWANA amenituma, ili nifanye kazi hizi zote; kwa kuwa mimi sikuzifanya kwa akili zangu mwenyewe. Tazama sura |