Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 15:19 - Swahili Revised Union Version

19 ndipo itakapokuwa ya kwamba kila mtakapokula katika chakula cha nchi hiyo, mtamsogezea BWANA sadaka ya kuinuliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 kila mtakapokula mazao ya nchi hiyo, mtatenga kiasi fulani na kunipa mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 kila mtakapokula mazao ya nchi hiyo, mtatenga kiasi fulani na kunipa mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 kila mtakapokula mazao ya nchi hiyo, mtatenga kiasi fulani na kunipa mimi Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 nanyi mkala chakula cha nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kuwa sadaka kwa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 nanyi mkala chakula cha nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kama sadaka kwa bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 ndipo itakapokuwa ya kwamba kila mtakapokula katika chakula cha nchi hiyo, mtamsogezea BWANA sadaka ya kuinuliwa.

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:19
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye kuhani, mwana wa Haruni, atakuwako pamoja na Walawi, watwaapo zaka Walawi; nao Walawi wataipandisha zaka ya hizo zaka nyumbani kwa Mungu wetu, vyumbani, katika nyumba ya hazina.


Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtakapoingia nchi niwapelekayo,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo