Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 15:16 - Swahili Revised Union Version

16 Itakuwa sheria moja na amri moja kwenu ninyi na kwa mgeni akaaye nanyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 nyinyi na yeye mtakuwa chini ya sheria ileile moja na maagizo yaleyale.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 nyinyi na yeye mtakuwa chini ya sheria ileile moja na maagizo yaleyale.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 nyinyi na yeye mtakuwa chini ya sheria ileile moja na maagizo yaleyale.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Sheria hizo na masharti hayo vitawahusu ninyi na pia mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Sheria hizo hizo na masharti hayo hayo yatawahusu ninyi na mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Itakuwa sheria moja na amri moja kwenu ninyi na kwa mgeni akaaye nanyi.

Tazama sura Nakili




Hesabu 15:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hata na mgeni naye, asiyekuwa mmoja wa watu wako Israeli, atakapokuja kutoka nchi iliyo mbali sana kwa ajili ya jina lako;


Sheria ni hiyo moja kwa mtu aliyezaliwa kwenu, na kwa mgeni akaaye kati yenu ugenini.


Mtakuwa na sheria moja tu, kwa huyo aliye mgeni, na kwa mzalia; kwa kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Na mtu yeyote kati ya watu wa nchi akifanya dhambi pasipo kukusudia, kwa kufanya neno lolote katika hayo ambayo BWANA alizuilia yasifanywe, naye akapata hatia;


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Miji hiyo sita itakuwa pa kukimbilia usalama kwa ajili ya wana wa Israeli, kwa ajili ya mgeni na kwa ajili ya aishiye nao kama mgeni; ili kila amwuaye mtu, bila kukusudia kuua, apate mahali pa kukimbilia.


Na kama mgeni akiketi kati yenu ugenini, naye ataka kuishika Pasaka kwa BWANA; kama hiyo sheria ya Pasaka ilivyo, na kama amri yake ilivyo, ndivyo atakavyofanya; mtakuwa na sheria moja, kwa huyo aliye mgeni, na kwa huyo aliyezaliwa katika nchi.


Na Israeli wote pamoja na wazee, viongozi wao na waamuzi wao, wakasimama upande huu wa sanduku na upande huu, mbele ya makuhani Walawi, waliolichukua sanduku la Agano la BWANA, huyo aliyekuwa mgeni pamoja na huyo mzalia; nusu yao mbele ya mlima Gerizimu, na nusu yao mbele ya mlima Ebali, kama Musa, mtumishi wa BWANA, alivyoamuru hapo awali, ili wawabariki watu wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo