Hesabu 15:16 - Swahili Revised Union Version16 Itakuwa sheria moja na amri moja kwenu ninyi na kwa mgeni akaaye nanyi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 nyinyi na yeye mtakuwa chini ya sheria ileile moja na maagizo yaleyale.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 nyinyi na yeye mtakuwa chini ya sheria ileile moja na maagizo yaleyale.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 nyinyi na yeye mtakuwa chini ya sheria ileile moja na maagizo yaleyale.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Sheria hizo na masharti hayo vitawahusu ninyi na pia mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Sheria hizo hizo na masharti hayo hayo yatawahusu ninyi na mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Itakuwa sheria moja na amri moja kwenu ninyi na kwa mgeni akaaye nanyi. Tazama sura |
Na Israeli wote pamoja na wazee, viongozi wao na waamuzi wao, wakasimama upande huu wa sanduku na upande huu, mbele ya makuhani Walawi, waliolichukua sanduku la Agano la BWANA, huyo aliyekuwa mgeni pamoja na huyo mzalia; nusu yao mbele ya mlima Gerizimu, na nusu yao mbele ya mlima Ebali, kama Musa, mtumishi wa BWANA, alivyoamuru hapo awali, ili wawabariki watu wa Israeli.