Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Filemoni 1:23 - Swahili Revised Union Version

23 Epafra, aliyefungwa pamoja nami katika Kristo Yesu, akusalimu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Epafra, mfungwa mwenzangu kwa ajili ya Kristo Yesu, anakusalimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Al-Masihi Isa, anakusalimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Al-Masihi Isa, anakusalimu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Epafra, aliyefungwa pamoja nami katika Kristo Yesu, akusalimu;

Tazama sura Nakili




Filemoni 1:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nisalimieni Androniko na Yunia, jamaa zangu, waliofungwa pamoja nami, ambao ni maarufu miongoni mwa mitume; nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.


kama mlivyofundishwa na Epafra, mwenzi wetu mpendwa, aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu;


Aristarko, aliyefungwa pamoja nami, awasalimu; pamoja na Marko, binamu yake Barnaba, ambaye mmepokea maagizo juu yake; akifika kwenu mkaribisheni.


Epafra, aliye mtu wa kwenu, mtumwa wa Yesu Kristo, awasalimu, akifanya bidii siku zote kwa ajili yenu katika maombi yake, ili msimame mkiwa wakamilifu na kuthibitika kabisa katika mapenzi yote ya Mungu.


Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, na Timotheo aliye ndugu yetu, kwa Filemoni mpendwa wetu, mtenda kazi pamoja nasi,


lakini, kwa ajili ya upendo nakusihi, kwa kuwa ndimi, Paulo mzee, na sasa mfungwa wa Kristo Yesu pia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo