Ezra 7:12 - Swahili Revised Union Version12 Artashasta, mfalme wa wafalme, kwa Ezra, kuhani, mwandishi wa Torati ya Mungu wa mbinguni, wasalamu; na kadhalika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 “Kutoka kwa Artashasta, mfalme wa wafalme, kwa Ezra, kuhani na mtu mwenye ujuzi katika sheria ya Mungu wa mbinguni; Wasalaam!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 “Kutoka kwa Artashasta, mfalme wa wafalme, kwa Ezra, kuhani na mtu mwenye ujuzi katika sheria ya Mungu wa mbinguni; Wasalaam!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 “Kutoka kwa Artashasta, mfalme wa wafalme, kwa Ezra, kuhani na mtu mwenye ujuzi katika sheria ya Mungu wa mbinguni; Wasalaam!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Artashasta, mfalme wa wafalme, Kwa Ezra kuhani, mwalimu wa Torati ya Mungu wa mbinguni: Salamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Artashasta, mfalme wa wafalme, Kwa Ezra kuhani, mwalimu wa Torati ya Mungu wa mbinguni: Salamu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Artashasta, mfalme wa wafalme, kwa Ezra, kuhani, mwandishi wa Torati ya Mungu wa mbinguni, wasalamu; na kadhalika. Tazama sura |