Ezra 7:10 - Swahili Revised Union Version10 Kwa maana huyo Ezra alikuwa ameuelekeza moyo wake kuitafuta sheria ya BWANA, na kuitenda, na kufundisha maagizo na hukumu katika Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Ezra alikuwa amejitoa kwa moyo wote kujifunza sheria ya Mwenyezi-Mungu, kuitii na kuwafundisha watu wa Israeli maagizo na amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Ezra alikuwa amejitoa kwa moyo wote kujifunza sheria ya Mwenyezi-Mungu, kuitii na kuwafundisha watu wa Israeli maagizo na amri zake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Ezra alikuwa amejitoa kwa moyo wote kujifunza sheria ya Mwenyezi-Mungu, kuitii na kuwafundisha watu wa Israeli maagizo na amri zake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kwa maana Ezra alikuwa amejitoa kwa moyo wote kujifunza na kushika Torati ya Mwenyezi Mungu na kuwafundisha Waisraeli amri na sheria zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kwa maana Ezra alikuwa amejitoa kwa moyo wote kujifunza na kushika Torati ya bwana na kuwafundisha watu wa Israeli amri na sheria zake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Kwa maana huyo Ezra alikuwa ameuelekeza moyo wake kuitafuta sheria ya BWANA, na kuitenda, na kufundisha maagizo na hukumu katika Israeli. Tazama sura |