Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 4:18 - Swahili Revised Union Version

18 Ule barua mliotutumia umesomwa wazi mbele yangu, nami nikaielewa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 “Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa mbele yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 “Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa mbele yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 “Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa mbele yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Ule waraka mliotutumia umesomwa wazi mbele yangu, nami nikauelewa.

Tazama sura Nakili




Ezra 4:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mfalme akatuma majibu; Kwa Rehumu, mtawala, na Shimshai, mwandishi, na wenzao wengine waliokaa katika Samaria, na penginepo ng'ambo ya Mto, Salamu; na kadhalika.


Nikatoa amri, na watu wametafuta habari; ikaonekana ya kuwa mji huu zamani umewaasi wafalme, na ya kuwa uasi na fitina zimefanyika ndani yake.


Nao wakasoma katika kitabu, katika Torati ya Mungu, kwa sauti ya kusikika; wakaeleza maana yake, hata wakayafahamu yaliyosomwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo