Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ezra 10:12 - Swahili Revised Union Version

12 Ndipo mkutano wote wakajibu, wakasema, kwa sauti kuu, Kama ulivyosema katika habari yetu, ndivyo vitupasavyo kutenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Watu wote walipaza sauti na kujibu kwa pamoja, “Ni sawa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Watu wote walipaza sauti na kujibu kwa pamoja, “Ni sawa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Watu wote walipaza sauti na kujibu kwa pamoja, “Ni sawa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kusanyiko lote wakajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Ndipo mkutano wote wakajibu, wakasema, kwa sauti kuu, Kama ulivyosema katika habari yetu, ndivyo vitupasavyo kutenda.

Tazama sura Nakili




Ezra 10:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sasa basi, ungameni mbele za BWANA, Mungu wa baba zenu, mkatende alipendalo; mkajitenge na watu wa nchi, tena na wanawake wageni.


Lakini watu hawa ni wengi, tena ni wakati wa mvua nyingi, nasi hatuwezi kusimama nje, tena kazi hii si kazi ya siku moja, wala ya siku mbili; maana tumekosa sana katika jambo hili.


Tena siku zizo hizo nikawaona wale Wayahudi waliokuwa wameoa wanawake wa Ashdodi, na Amoni, na Moabu;


Kwa maana mioyo yao haikuwa thabiti kwake, Wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.


Bali walirudi nyuma, wakahaini kama baba zao; Wakayumba kama upinde usiofaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo