Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Esta 5:5 - Swahili Revised Union Version

5 Basi mfalme akasema, Mhimize Hamani, ili ifanyike kama Esta alivyoomba. Hivyo mfalme na Hamani wakafika katika karamu ile aliyoiandaa Esta.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mfalme akatoa amri Hamani aje upesi, kama Esta alivyoomba. Basi, mfalme na Hamani wakaenda kwenye karamu aliyoandaa Esta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mfalme akatoa amri Hamani aje upesi, kama Esta alivyoomba. Basi, mfalme na Hamani wakaenda kwenye karamu aliyoandaa Esta.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mfalme akatoa amri Hamani aje upesi, kama Esta alivyoomba. Basi, mfalme na Hamani wakaenda kwenye karamu aliyoandaa Esta.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Mfalme akasema, “Mleteni Hamani mara moja, ili tupate kufanya lile Esta analoomba.” Kwa hiyo mfalme na Hamani walihudhuria karamu aliyoiandaa Esta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Mfalme akasema, “Mleteni Hamani mara moja, ili tupate kufanya lile Esta analoomba.” Kwa hiyo mfalme na Hamani walihudhuria karamu aliyoiandaa Esta.

Tazama sura Nakili




Esta 5:5
2 Marejeleo ya Msalaba  

Esta akasema, Mfalme akiona vema, na aje leo, mfalme na Hamani, kwenye karamu niliyomwandalia.


Walipokuwa wangali wakisema naye, matowashi wa mfalme walifika, wakahimiza kumleta Hamani katika karamu ile aliyoiandaa Esta.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo