Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Esta 4:6 - Swahili Revised Union Version

6 Basi yule Hathaki akatoka nje kumwendea Mordekai kwenye uwanda wa mji ulipo mbele ya mlango wa mfalme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Hathaki alimwendea Mordekai uwanjani, mbele ya lango la ikulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Hathaki alimwendea Mordekai uwanjani, mbele ya lango la ikulu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Hathaki alimwendea Mordekai uwanjani, mbele ya lango la ikulu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Basi Hathaki alitoka nje kumwendea Mordekai kwenye uwanja ulio wazi wa mji mbele ya lango la mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Basi Hathaki alitoka nje kumwendea Mordekai kwenye uwanja ulio wazi wa mji mbele ya lango la mfalme.

Tazama sura Nakili




Esta 4:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika kila mkoa, ambako amri ya mfalme na mbiu yake imewasili, palikuwako msiba mkuu kwa Wayahudi, na kufunga, na kulia, na kuomboleza; hata na wengi wakalala juu ya gunia na majivu.


Kisha Esta akamwita Hathaki, towashi mmojawapo wa mfalme, aliyemwagiza amhudumue Esta, akamtuma kwa Mordekai, ili ajue mambo hayo, na maana yake ni nini.


Naye Mordekai akamweleza yote yaliyompata, na hesabu ya fedha Hamani aliahidi kulipa katika hazina ya mfalme, ili Wayahudi waangamizwe.


Mfalme akamwambia Esta tena siku ya pili pale pale penye karamu ya divai, Malkia Esta, dua yako ni nini? Nawe utapewa; na haja yako ni nini? Hata nusu ya ufalme utatimiziwa.


Mfalme akamwambia malkia Esta, Wayahudi wamewaua watu mia tano hapa Shushani ngomeni na kuwaangamiza, pamoja na wana kumi wa Hamani, je! Wamefanyaje basi katika majimbo ya mfalme yaliyosalia! Basi, una nini uombalo? Nawe utapewa; ama unayo haja gani tena? Nayo itatimizwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo