Esta 4:4 - Swahili Revised Union Version4 Basi wajakazi wake Esta, na wasimamizi wake wa nyumba, wakamjia, wakampasha habari; naye malkia akahuzunika mno; akampelekea Mordekai mavazi, ili kumvika, na kumwondolea gunia lake; lakini yeye hakukubali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Malkia Esta alipoarifiwa na matowashi na watumwa wa kike wake habari za Mordekai alihuzunika sana. Akampelekea Mordekai nguo za kuvaa badala ya vazi la gunia, lakini Mordekai akazikataa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Malkia Esta alipoarifiwa na matowashi na watumwa wa kike wake habari za Mordekai alihuzunika sana. Akampelekea Mordekai nguo za kuvaa badala ya vazi la gunia, lakini Mordekai akazikataa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Malkia Esta alipoarifiwa na matowashi na watumwa wa kike wake habari za Mordekai alihuzunika sana. Akampelekea Mordekai nguo za kuvaa badala ya vazi la gunia, lakini Mordekai akazikataa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Wajakazi wa Esta na matowashi walipokuja na kumwambia kuhusu Mordekai, alipatwa na huzuni kuu. Alimtumia nguo avae badala ya magunia, lakini Mordekai hakuzikubali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Wajakazi wa Esta na matowashi walipokuja na kumwambia kuhusu Mordekai, alipatwa na huzuni kuu. Alimtumia nguo avae badala ya nguo za magunia, lakini Mordekai hakuzikubali. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19374 Vijana wa kike wa Esteri na watumishi wake wa nyumbani walipokuja kumsimulia mambo hayo, mke wa mfalme akaumia sana moyoni, akatuma nguo kwake Mordekai, azivae na kuliondoa gunia lake, lakini hakukubali. Tazama sura |