Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Esta 3:11 - Swahili Revised Union Version

11 Kisha mfalme akamwambia Hamani, Hiyo fedha umepewa, na watu pia, fanya uonavyo vema.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ndipo mfalme akamwambia Hamani, “Umepewa watu wote na hizo fedha, tumia upendavyo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ndipo mfalme akamwambia Hamani, “Umepewa watu wote na hizo fedha, tumia upendavyo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ndipo mfalme akamwambia Hamani, “Umepewa watu wote na hizo fedha, tumia upendavyo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Mfalme akamwambia Hamani, “Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Mfalme akamwambia Hamani, “Baki na fedha yako na uwatendee hao watu utakavyo.”

Tazama sura Nakili




Esta 3:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mfalme alipoivua pete yake ya kupigia mhuri kutoka mkononi, akampa Hamani mwana wa Hamedatha, Mwagagi, adui ya Wayahudi.


Basi, waandishi wa mfalme wakaitwa, siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza; na barua zikaandikwa, kama vile Hamani alivyoagiza, kwa wakuu wa mfalme, na wakuu wa mikoa, na wakuu wa kila taifa; kila mkoa kwa mwandiko wake, na kila taifa kwa lugha yake; zikaandikwa kwa jina la mfalme Ahasuero, na kutiwa mhuri kwa pete yake.


Macho yao hutokeza kwa kunenepa, Wameipita kadiri ya mawazo ya mioyo yao.


Lakini kwangu mimi, tazama, mimi nipo hapa mikononi mwenu; nitendeni myaonayo kuwa mema na haki mbele ya macho yenu.


Na sasa, tazama, nakufungulia leo minyororo hii iliyo mikononi mwako. Kama ukiona ni vema kwenda Babeli pamoja nami, haya! Njoo, nami nitakutunza sana; lakini kama ukiona ni vibaya kwenda Babeli pamoja nami, basi, acha; tazama, nchi yote iko mbele yako; palipo pema machoni pako na pa kukufaa, nenda huko.


Akamfungua yule aliyetupwa gerezani kwa ajili ya fitina na uuaji, yule waliyemtaka, akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo