Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Esta 1:2 - Swahili Revised Union Version

2 siku zile mfalme Ahasuero alipoketi katika kiti cha enzi cha ufalme wake, huko Susa, mji mkuu ngomeni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Wakati huo Mfalme Ahasuero alitawala kwenye kiti chake cha ufalme katika ngome ya mji wa Shushani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Wakati huo Mfalme Ahasuero alitawala katika kiti chake cha enzi katika ngome ya mji wa Shushani.

Tazama sura Nakili

Swahili Roehl Bible 1937

2 hapo, yeye mfalme Ahaswerosi alipokaa katika kiti chake cha kifalme jumbani mwake huko Susani,

Tazama sura Nakili




Esta 1:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, mfalme alipokuwa akikaa katika nyumba yake, hapo BWANA alipomstarehesha, asiudhiwe na adui zake waliomzunguka pande zote,


Na tena, Sulemani ameketi katika kiti cha enzi cha ufalme.


Habari za Nehemia, mwana wa Hakalia. Ikawa katika mwezi wa Kislevu, mwaka wa ishirini, nilipokuwapo Shushani ngomeni,


naye mfalme aweke wasimamizi katika mikoa yote ya ufalme wake, ili wakusanye pamoja mabikira vijana wazuri wote waende Susa, mji mkuu kwenye nyumba ya wanawake mikononi mwa Hegai, msimamizi wa nyumba ya mfalme, mwenye kuwalinda wanawake; tena wapewe vifaa vya utakaso.


Basi palikuwa na Myahudi mmoja huko Susa, mji mkuu; jina lake Mordekai, mwana wa Yairi, mwana wa Shimei, mwana wa Kishi, wa kabila la Benyamini;


Matarishi wakaondoka wakaenda haraka kwa amri ya mfalme; kukapigwa mbiu huko Shushani ngomeni. Mfalme na Hamani wakaketi ili kunywa divai; bali mji wa Shushani ukafadhaika.


Nenda ukawakusanye Wayahudi wote waliopo hapa Susa, mkafunge kwa ajili yangu; msile wala kunywa muda wa siku tatu, usiku wala mchana, nami na wajakazi wangu tutafunga vile vile; kisha nitaingia kwa mfalme, kinyume cha sheria; nami nikiangamia, na niangamie.


Mimi, Nebukadneza, nilikuwa nikistarehe nyumbani kwangu, nikineemeka katika nyumba yangu ya enzi.


Nami niliona katika maono; nilipokuwa natazama na nikajionea mwenyewe nikiwa huko Susa, Mji mkuu wa mkoa wa Elamu; nikaona katika maono, nami nilikuwa karibu na mto Ulai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo