Esta 1:2 - Swahili Revised Union Version2 siku zile mfalme Ahasuero alipoketi katika kiti cha enzi cha ufalme wake, huko Susa, mji mkuu ngomeni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Kiti chake cha enzi kilikuwa katika mji mkuu Susa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Wakati huo Mfalme Ahasuero alitawala kwenye kiti chake cha ufalme katika ngome ya mji wa Shushani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Wakati huo Mfalme Ahasuero alitawala katika kiti chake cha enzi katika ngome ya mji wa Shushani. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19372 hapo, yeye mfalme Ahaswerosi alipokaa katika kiti chake cha kifalme jumbani mwake huko Susani, Tazama sura |