Danieli 6:9 - Swahili Revised Union Version9 Basi mfalme Dario akayatia sahihi maandiko yale, na ile marufuku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Hivyo, mfalme Dario akaitia sahihi hati ya sheria hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Hivyo, mfalme Dario akaitia sahihi hati ya sheria hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Hivyo, mfalme Dario akaitia sahihi hati ya sheria hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Hivyo Mfalme Dario akaiweka amri hiyo katika maandishi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Hivyo Mfalme Dario akaiweka amri hiyo katika maandishi. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19379 Kwa sababu hiyo mfalme Dario akaiandika amri hiyo ya kutisha watu kwa ukali. Tazama sura |