Danieli 2:5 - Swahili Revised Union Version5 Mfalme akajibu, akawaambia Wakaldayo, Neno lenyewe limeniondoka; msiponijulisha ile ndoto na tafsiri yake, mtakatwa vipande vipande, na nyumba zenu zitafanywa jaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Mfalme akawaambia, “Nimetoa kauli yangu kamili: Ikiwa hamtanijulisha ndoto yenyewe na maana yake, mtangolewa viungo vyenu kimojakimoja, na nyumba zenu zitabomolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Mfalme akawaambia, “Nimetoa kauli yangu kamili: Ikiwa hamtanijulisha ndoto yenyewe na maana yake, mtangolewa viungo vyenu kimojakimoja, na nyumba zenu zitabomolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Mfalme akawaambia, “Nimetoa kauli yangu kamili: ikiwa hamtanijulisha ndoto yenyewe na maana yake, mtang'olewa viungo vyenu kimojakimoja, na nyumba zenu zitabomolewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Mfalme akawajibu wanajimu, “Nimeamua hivi kwa uthabiti: Ikiwa hamtaniambia ndoto yangu ilikuwa ipi na kuifasiri, mtakatwa vipande vipande, na nyumba zenu zitafanywa kuwa vifusi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Mfalme akawajibu wanajimu, “Nimeamua hivi kwa uthabiti: Ikiwa hamtaniambia ndoto yangu ilikuwa ipi na kuifasiri, mtakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vifusi. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19375 Mfalme akawajibu, akawaambia Wakasidi: Neno langu lisilogeuzwa ni hili: msiponijulisha ndoto na maana yake, mtakatwa vipandevipande, nazo nyumba zenu zitabomolewa, ziwe vifusi. Tazama sura |