Danieli 1:1 - Swahili Revised Union Version1 Katika mwaka wa tatu wa kumiliki kwake Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, Nebukadneza, mfalme wa Babeli, alikwenda Yerusalemu akauhusuru. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mnamo mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Yehoyakimu wa Yuda, mfalme Nebukadneza wa Babuloni alikwenda Yerusalemu, akauzingira mji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mnamo mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Yehoyakimu wa Yuda, mfalme Nebukadneza wa Babuloni alikwenda Yerusalemu, akauzingira mji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mnamo mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Yehoyakimu wa Yuda, mfalme Nebukadneza wa Babuloni alikwenda Yerusalemu, akauzingira mji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja akazingira Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja akazingira Yerusalemu kwa jeshi. Tazama suraSwahili Roehl Bible 19371 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Yoyakimu, mfalme wa Yuda, Nebukadinesari, mfalme wa Babeli, alikuja Yerusalemu, akausonga. Tazama sura |