Amosi 8:7 - Swahili Revised Union Version7 BWANA ameapa kwa fahari ya Yakobo, Hakika sitazisahau kamwe kazi zao hata mojawapo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mwenyezi-Mungu, fahari ya Yakobo, ameapa: “Hakika, sitayasahau matendo yao maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mwenyezi-Mungu, fahari ya Yakobo, ameapa: “Hakika, sitayasahau matendo yao maovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mwenyezi-Mungu, fahari ya Yakobo, ameapa: “Hakika, sitayasahau matendo yao maovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Mwenyezi Mungu ameapa kwake mwenyewe, aliye Fahari ya Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 bwana ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 BWANA ameapa kwa fahari ya Yakobo, Hakika sitazisahau kamwe kazi zao hata mojawapo. Tazama sura |