Amosi 8:13 - Swahili Revised Union Version13 Siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kwa kiu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Siku hiyo, hata vijana wenye afya, wa kiume kwa wa kike, watazimia kwa kiu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Siku hiyo, hata vijana wenye afya, wa kiume kwa wa kike, watazimia kwa kiu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Siku hiyo, hata vijana wenye afya, wa kiume kwa wa kike, watazimia kwa kiu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “Katika siku ile “wasichana wazuri na wavulana wenye nguvu watazimia kwa sababu ya kiu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “Katika siku ile “wasichana wazuri na vijana wanaume wenye nguvu watazimia kwa sababu ya kiu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Siku hiyo wanawali wazuri na wavulana watazimia kwa kiu. Tazama sura |