Amosi 7:6 - Swahili Revised Union Version6 BWANA akaghairi katika jambo hili pia. Jambo hili halitakuwa, asema Bwana MUNGU. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Basi, Mwenyezi-Mungu akabadili nia yake, akasema: “Hili pia halitatukia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Basi, Mwenyezi-Mungu akabadili nia yake, akasema: “Hili pia halitatukia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Basi, Mwenyezi-Mungu akabadili nia yake, akasema: “Hili pia halitatukia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa hiyo Mwenyezi Mungu akaghairi. Bwana Mungu Mwenyezi akasema, “Hili nalo halitatokea.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa hiyo bwana akaghairi. bwana Mwenyezi akasema, “Hili nalo halitatokea.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 BWANA akaghairi katika jambo hili pia. Jambo hili halitakuwa, asema Bwana MUNGU. Tazama sura |