Amosi 5:20 - Swahili Revised Union Version20 Je! Siku ya BWANA haitakuwa giza, wala si nuru? Naam, yenye giza sana, wala haina mwanga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Siku ya Mwenyezi-Mungu itakuwa giza, na sio mwanga; itakuwa huzuni bila uangavu wowote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Siku ya Mwenyezi-Mungu itakuwa giza, na sio mwanga; itakuwa huzuni bila uangavu wowote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Siku ya Mwenyezi-Mungu itakuwa giza, na sio mwanga; itakuwa huzuni bila uangavu wowote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Je, siku ya Mwenyezi Mungu haitakuwa giza, na si nuru: giza nene, bila mwali wowote? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Je, siku ya bwana haitakuwa giza, na si nuru: giza nene, bila mwonzi wa mwanga? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI20 Je! Siku ya BWANA haitakuwa giza, wala si nuru? Naam, yenye giza sana, wala haina mwanga. Tazama sura |