Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Amosi 1:15 - Swahili Revised Union Version

15 na mfalme wao atakwenda utumwani, yeye na wakuu wake wote pamoja, asema BWANA.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mfalme wao na maofisa wake, wote watakwenda kukaa uhamishoni. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mfalme wao na maofisa wake, wote watakwenda kukaa uhamishoni. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mfalme wao na maofisa wake, wote watakwenda kukaa uhamishoni. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mfalme wake ataenda uhamishoni, yeye pamoja na maafisa wake,” asema Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mfalme wake atakwenda uhamishoni, yeye pamoja na maafisa wake,” asema bwana.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 na mfalme wao atakwenda utumwani, yeye na wakuu wake wote pamoja, asema BWANA.

Tazama sura Nakili




Amosi 1:15
2 Marejeleo ya Msalaba  

Omboleza, Ee Heshboni, Kwa maana Ai umeangamizwa; Lieni, enyi binti za Raba, Mjivike nguo za magunia; Ombolezeni, mkipiga mbio Huko na huko kati ya maboma; Maana Malkamu atakwenda kuhamishwa, Makuhani wake na wakuu wake pamoja.


basi, tazama, nimenyosha mkono wangu juu yako, nami nitakutoa uwe mateka ya mataifa; nami nitakukatilia mbali na makabila ya watu, nami nitakuangamiza, usiwe katika nchi hizo; nitakukomesha; nawe utajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo