2 Wathesalonike 3:2 - Swahili Revised Union Version2 na tukaokolewe kutoka kwa watu wasio haki, na waovu, maana si wote walio na imani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu, maana si wote wanauamini ujumbe huu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu, maana si wote wanauamini ujumbe huu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu, maana si wote wanauamini ujumbe huu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Ombeni pia ili tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si wote wanaoamini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Ombeni pia ili tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si wote wanaoamini. Tazama sura |