Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 9:9 - Swahili Revised Union Version

9 kama ilivyoandikwa, Ametapanya, amewapa maskini, Haki yake yakaa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini; wema wake wadumu milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini; wema wake wadumu milele.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini; wema wake wadumu milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kama ilivyoandikwa: “Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 kama ilivyoandikwa, Ametapanya, amewapa maskini, Haki yake yakaa milele.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 9:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yadumu milele.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Aandamaye haki na fadhili, Ataona uhai na haki na heshima.


Utajiri na heshima ziko kwangu, Naam, utajiri udumuo, na haki pia.


Maana nondo atawala kama vazi, na funza atawala kama sufu; bali haki yangu itakuwa ya milele, na wokovu wangu hata vizazi vyote.


Basi, sasa inadumu imani, tumaini, upendo, haya matatu; na katika hayo lililo kuu ni upendo.


Na yeye ampaye mbegu mwenye kupanda, na mkate uwe chakula, atawapa mbegu za kupanda na kuzizidisha, naye atayaongeza mazao ya haki yenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo