Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 9:1 - Swahili Revised Union Version

1 Kuhusu kuwahudumia watakatifu sina haja ya kuwaandikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma yenu hiyo kwa ajili ya watu wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma yenu hiyo kwa ajili ya watu wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma yenu hiyo kwa ajili ya watu wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Hakuna haja ya kuwaandikia kuhusu huduma hii kwa watakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Hakuna haja yangu kuwaandikia kuhusu huduma hii itolewayo kwa ajili ya watakatifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Kuhusu kuwahudumia watakatifu sina haja ya kuwaandikia.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 9:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

Rebeka akaarifiwa maneno ya Esau, mwanawe mkubwa. Akatuma mtu kumwita Yakobo, mwanawe mdogo, akamwambia, Tazama, katika habari zake Esau, ndugu yako, anajifariji moyo wake, maana anakusudia kukuua.


Lakini yule mfalme wa Yuda, aliyewatuma ninyi kumwuliza BWANA, mtamwambia hivi, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Kwa habari ya maneno yale uliyoyasikia,


Yeye Mwenyezi hamwezi kumwona; Yeye ni mkuu mwenye uweza; Tena mwenye hukumu, na mwingi wa haki, hataonea.


Moyo wangu umefurika kwa jambo jema, Mimi nasema niliyomfanyia mfalme; Ulimi wangu ni kama kalamu ya mwandishi stadi.


Tena kuhusu kiyama ya wafu, hamjalisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema,


Baada ya miaka mingi nilifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.


Basi kwa habari ya Injili wamekuwa adui kwa ajili yenu; bali kwa habari ya kule kuchaguliwa wamekuwa wapenzi kwa ajili ya baba zetu.


kwa mahitaji ya watakatifu, mkifuata ukarimu; katika kukaribisha wageni mkijitahidi.


kwamba niokolewe kutoka kwa wale wasioamini katika Yudea, na tena huduma yangu niliyo nayo huko Yerusalemu ikubalike kwa watakatifu;


ila neno moja tu walitutakia, tuwakumbuke maskini; nami neno lilo hilo nilikuwa na bidii kulifanya.


Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.


Lakini, ndugu, kuhusu nyakati na majira, hamna haja niwaandikie.


Nanyi, mafuta yale mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu, wala hamna haja ya mtu kuwafundisha; lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha habari za mambo yote, tena ni kweli wala si uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni ndani yake.


Na kwa habari ya neno lile tulilonena, wewe na mimi, angalia BWANA yu kati ya wewe na mimi milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo