2 Wakorintho 6:3 - Swahili Revised Union Version3 Tusiwe kwazo la namna yoyote katika jambo lolote, ili utumishi wetu usilaumiwe; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Hatuweki kikwazo katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Tusiwe kwazo la namna yoyote katika jambo lolote, ili utumishi wetu usilaumiwe; Tazama sura |