Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 6:3 - Swahili Revised Union Version

3 Tusiwe kwazo la namna yoyote katika jambo lolote, ili utumishi wetu usilaumiwe;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuizi chochote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Hatuweki kikwazo katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Hatuweki kitu cha kukwaza katika njia ya mtu yeyote, ili huduma yetu isionekane kuwa na lawama.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Tusiwe kwazo la namna yoyote katika jambo lolote, ili utumishi wetu usilaumiwe;

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 6:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini tusije tukawakwaza, nenda baharini ukatupe ndoana, ukatwae samaki yule azukaye kwanza; na ukifumbua mdomo wake utaona shekeli; ichukue hiyo ukawape kwa ajili yangu na kwa ajili yako.


bali atakayemkosesha mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungiwe shingoni jiwe kubwa la kusagia, na kutoswa katika kilindi cha bahari.


Si kwamba kazi hii yetu ina hatari ya kudharauliwa tu; bali na hekalu la mungu mke aliye mkuu, Artemi, kuhesabiwa si kitu, na kuondolewa utukufu wake, ambaye Asia yote pia na walimwengu wote humwabudu.


Basi tusiendelee kuhukumiana, bali amueni kuwa mtu asifanye kitu cha kumkwaza ndugu au cha kumwangusha.


Ikiwa wengine wanashiriki uwezo huu juu yenu, sisi si zaidi? Lakini hatukuutumia uwezo huo; bali twayavumilia mambo yote tusije tukaizuia Habari Njema ya Kristo.


Kwa wanyonge nilikuwa mnyonge, ili niwapate wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa watu.


Kwa maana kujisifu kwetu ni huku, ushuhuda wa dhamiri yetu, ya kwamba kwa utakatifu na weupe wa moyo utokao kwa Mungu; si kwa hekima ya mwili, bali kwa neema ya Mungu; tulienenda katika dunia, na hasa kwenu ninyi.


Tukijiepusha na neno hili, mtu asije akatulaumu kuhusu karama hii tunayoitumikia;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo