Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wakorintho 6:12 - Swahili Revised Union Version

12 Hamsongwi ndani yetu, bali mwasongwa katika mioyo yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu nyinyi wenyewe, na si kwa upande wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu nyinyi wenyewe, na si kwa upande wetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu nyinyi wenyewe, na si kwa upande wetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Hamsongwi ndani yetu, bali mwasongwa katika mioyo yenu.

Tazama sura Nakili




2 Wakorintho 6:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.


Heri kuona kwa macho, Kuliko kutangatanga kwa tamaa. Hayo nayo ni ubatili, na kufukuza upepo.


Je! Litasemwa neno hili, enyi nyumba ya Yakobo, Roho ya BWANA imepunguzwa? Je! Haya ni matendo yake? Je! Maneno yangu hayamfai yeye aendaye kwa unyofu?


Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Pande zote twateseka, bali hatusongwi; twaona shaka, bali hatukati tamaa;


Tupeni nafasi mioyoni mwenu. Hatukumdhulumu mtu yeyote, wala kumharibu mtu, wala kumkosea mtu.


Maana Mungu ni shahidi wangu, jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote katika moyo wake Kristo Yesu.


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo