2 Wakorintho 5:13 - Swahili Revised Union Version13 Maana ikiwa tumerukwa na akili zetu, ni kwa ajili ya Mungu; au ikiwa tunazo akili zetu timamu, ni kwa ajili yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Ikiwa tumeonekana kuwa wendawazimu, hiyo ni kwa ajili ya Mungu; na ikiwa tunazo akili zetu timamu, hiyo ni kwa faida yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Ikiwa tumeonekana kuwa wendawazimu, hiyo ni kwa ajili ya Mungu; na ikiwa tunazo akili zetu timamu, hiyo ni kwa faida yenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Ikiwa tumeonekana kuwa wendawazimu, hiyo ni kwa ajili ya Mungu; na ikiwa tunazo akili zetu timamu, hiyo ni kwa faida yenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mungu; kama tuna akili timamu, ni kwa ajili yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu; kama tuna akili timamu, ni kwa ajili yenu. Tazama sura |