2 Wakorintho 2:9 - Swahili Revised Union Version9 Maana niliandika kwa sababu hii pia, ili nipate wazi kwenu kwamba mmekuwa wenye kutii katika mambo yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Madhumuni yangu ya kuandika ile barua yalikuwa kutaka kujua kama mko tayari kutii katika kila jambo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Madhumuni yangu ya kuandika ile barua yalikuwa kutaka kujua kama mko tayari kutii katika kila jambo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Madhumuni yangu ya kuandika ile barua yalikuwa kutaka kujua kama mko tayari kutii katika kila jambo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Sababu ya kuwaandikia ni kuona kama mngeweza kushinda hilo jaribio na kutii katika kila jambo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Maana niliandika kwa sababu hii pia, ili nipate wazi kwenu kwamba mmekuwa wenye kutii katika mambo yote. Tazama sura |