2 Wakorintho 1:21 - Swahili Revised Union Version21 Basi Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na nyinyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na nyinyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na nyinyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Al-Masihi. Alitupaka mafuta Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Basi ni Mungu atufanyaye sisi pamoja nanyi kusimama imara katika Al-Masihi. Ametutia mafuta Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Basi Yeye atufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututia mafuta, ni Mungu, Tazama sura |