Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 9:4 - Swahili Revised Union Version

4 Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Basi, Nabii huyo kijana akaenda Ramothi Gileadi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Basi, Nabii huyo kijana akaenda Ramothi Gileadi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Basi, Nabii huyo kijana akaenda Ramothi Gileadi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Basi yule kijana nabii akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Basi yule kijana nabii akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Ramoth-Gileadi.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 9:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana wa Geberi katika Ramoth-gileadi; na kwake ilikuwa miji ya Yairi mwana wa Manase iliyomo Gileadi; na kwake ilikuwa wilaya ya Argobu, iliyomo Bashani, miji mikubwa sitini yenye kuta na makomeo ya shaba.


Nabii Elisha akamwita mmojawapo wa wana wa manabii, akamwambia, Jikaze viuno, ukachukue chupa hii ya mafuta mkononi mwako, ukaende Ramoth-Gileadi.


Naye alipofika, tazama, majemadari wa jeshi walikuwa wamekaa; naye akasema, Nimetumwa na neno kwako, Ee jemadari; Yehu akasema, Kwa yupi miongoni mwetu sote? Akasema, Kwako wewe, Ee jemadari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo