2 Wafalme 5:9 - Swahili Revised Union Version9 Basi Naamani akaja na farasi wake na magari yake, akasimama mlangoni pa nyumba ya Elisha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Naamani akaenda na farasi wake na gari lake mpaka mlangoni mwa Elisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Naamani akaenda na farasi wake na gari lake mpaka mlangoni mwa Elisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Naamani akaenda na farasi wake na gari lake mpaka mlangoni mwa Elisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kwa hiyo Naamani akaenda, akiwa na farasi wake na magari yake ya vita, na kusimama mlangoni mwa nyumba ya Al-Yasa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kwa hiyo Naamani akaenda, akiwa na farasi zake na magari yake, na kusimama mlangoni mwa nyumba ya Al-Yasa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Basi Naamani akaja na farasi wake na magari yake, akasimama mlangoni pa nyumba ya Elisha. Tazama sura |
Lakini Elisha alikuwa akikaa nyumbani mwake, na wazee wakikaa pamoja naye; na mfalme akamtuma mtu wa mbele yake; lakini hata kabla ya kufika kwake yule aliyetumwa, akawaambia wazee, Je! Mwaona jinsi huyu mwana wa mwuaji alivyotuma aniondolee kichwa changu? Angalieni, huyo aliyetumwa akifika, fungeni mlango, mkamzuie mlangoni; je! Sauti ya miguu ya bwana wake haiko nyuma yake?