Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 4:32 - Swahili Revised Union Version

32 Basi Elisha alipofika nyumbani, tazama, mtoto amekwisha kufa, amelazwa kitandani pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Elisha alipofika, akaingia peke yake chumbani na kuona maiti ya kijana kitandani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Elisha alipofika, akaingia peke yake chumbani na kuona maiti ya kijana kitandani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Elisha alipofika, akaingia peke yake chumbani na kuona maiti ya kijana kitandani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Al-Yasa alipofika kwenye ile nyumba, mtoto alikuwa amelala juu ya kitanda chake angali amekufa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Al-Yasa alipofika kwenye ile nyumba, mtoto alikuwa amelala juu ya kitanda chake angali amekufa.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 4:32
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, baada ya hayo, mwana wake yule mwanamke, bibi wa nyumba ile, akaugua; ugonjwa wake ukazidi hata akawa hana pumzi tena.


Mamaye akapanda juu, akamlaza juu ya kitanda cha yule mtu wa Mungu, akamfungia mlango, akatoka.


Na Gehazi akawatangulia, akaiweka ile fimbo juu ya uso wa mtoto; lakini hapakuwa na sauti, wala majibu. Basi akarudi ili kumlaki, akamwambia, akisema, Mtoto hakuamka.


Basi akaingia ndani, akajifungia mlango, yeye na yule mtoto wote wawili, akamwomba BWANA.


Basi Yesu alipofika, alimkuta amekwisha kuwamo kaburini yapata siku nne.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo