Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 3:8 - Swahili Revised Union Version

8 Akauliza, Njia ipi tuiendee? Akajibu, Njia ya jangwa la Edomu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Je, tutashambulia kutoka upande gani?” Yoramu akajibu, “Tutashambulia kutoka jangwa la Edomu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Je, tutashambulia kutoka upande gani?” Yoramu akajibu, “Tutashambulia kutoka jangwa la Edomu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Je, tutashambulia kutoka upande gani?” Yoramu akajibu, “Tutashambulia kutoka jangwa la Edomu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Akauliza, “Je, tutashambulia kupitia njia gani?” Akajibu, “Kupitia Jangwa la Edomu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Akauliza, “Je, tutashambulia kupitia njia gani?” Akajibu, “Kupitia Jangwa la Edomu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akauliza, Njia ipi tuiendee? Akajibu, Njia ya jangwa la Edomu.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 3:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akaenda akatuma kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akasema, Mfalme wa Moabu ameniasi; je! Utakwenda pamoja nami tupigane na Moabu? Akasema, Nitakwenda; mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.


Basi mfalme wa Israeli akaenda, na mfalme wa Yuda, na mfalme wa Edomu; wakazunguka mwendo wa siku saba; wala hapakuwa na maji kwa jeshi, wala kwa wanyama waliowafuata.


Wakasafiri kutoka mlima wa Hori kwa njia ya Bahari ya Shamu; ili kuizunguka nchi ya Edomu, watu wakafa moyo kwa sababu ya ile njia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo