Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 24:6 - Swahili Revised Union Version

6 Yehoyakimu akalala na babaze; na mwanawe Yekonia akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Yehoyakimu akafariki, na mwanawe Yehoyakini akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Yehoyakimu akafariki, na mwanawe Yehoyakini akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Yehoyakimu akafariki, na mwanawe Yehoyakini akatawala mahali pake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Yehoyakimu akalala na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Yehoyakimu akalala pamoja na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 24:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mambo yote ya Yehoyakimu yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, je! Hayakuandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu za Wafalme wa Yuda?


Juu yake akakwea Nebukadneza, mfalme wa Babeli, akamfunga kwa pingu, amchukue mpaka Babeli.


Basi mambo yote ya Yehoyakimu yaliyosalia, na machukizo yake aliyoyafanya, nayo yaliyoonekana kwake, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda; na Yekonia mwanawe akatawala mahali pake.


Kama niishivyo mimi, asema BWANA, hata Konia, mwana wa Yehoyakimu, mfalme wa Yuda, angekuwa pete yenye mhuri katika mkono wangu wa kulia, ningekung'oa wewe hapo;


Basi, BWANA aseme hivi, kuhusu Yehoyakimu, mfalme wa Yuda; Hatakuwa na mtu wa kukaa katika kiti cha enzi cha Daudi; na maiti yake itatupwa nje wakati wa mchana ipigwe na joto, na wakati wa usiku ipigwe na baridi.


Tena uwaombolezee wakuu wa Israeli,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo