2 Wafalme 21:4 - Swahili Revised Union Version4 Akazijenga madhabahu ndani ya nyumba ya BWANA, napo ndipo alipopanena BWANA, Katika Yerusalemu nitaliweka jina langu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Alijenga madhabahu katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu mahali ambapo Mwenyezi-Mungu alikuwa amesema, “Jina langu litaabudiwa katika Yerusalemu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Alijenga madhabahu katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu mahali ambapo Mwenyezi-Mungu alikuwa amesema, “Jina langu litaabudiwa katika Yerusalemu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Alijenga madhabahu katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu mahali ambapo Mwenyezi-Mungu alikuwa amesema, “Jina langu litaabudiwa katika Yerusalemu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Akajenga madhabahu katika Hekalu la Mwenyezi Mungu, ambamo Mwenyezi Mungu alikuwa amesema, “Katika Yerusalemu nitaliweka Jina langu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Akajenga madhabahu katika Hekalu la bwana, ambamo bwana alikuwa amesema, “Katika Yerusalemu nitaliweka Jina langu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI4 Akazijenga madhabahu ndani ya nyumba ya BWANA, napo ndipo alipopanena BWANA, Katika Yerusalemu nitaliweka jina langu. Tazama sura |