2 Wafalme 21:2 - Swahili Revised Union Version2 Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na machukizo ya mataifa, aliowafukuza BWANA mbele ya wana wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kwa kuiga mienendo miovu ya mataifa ambayo yalifukuzwa na Mwenyezi-Mungu wakati watu wake, Waisraeli walipokuwa wanaingia nchini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kwa kuiga mienendo miovu ya mataifa ambayo yalifukuzwa na Mwenyezi-Mungu wakati watu wake, Waisraeli walipokuwa wanaingia nchini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu kwa kuiga mienendo miovu ya mataifa ambayo yalifukuzwa na Mwenyezi-Mungu wakati watu wake, Waisraeli walipokuwa wanaingia nchini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Akafanya maovu machoni pa Mwenyezi Mungu, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayo Mwenyezi Mungu aliyafukuza mbele ya Waisraeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Akafanya maovu machoni pa bwana, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayo bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Akafanya yaliyo mabaya machoni pa BWANA, sawasawa na machukizo ya mataifa, aliowafukuza BWANA mbele ya wana wa Israeli. Tazama sura |