2 Wafalme 2:7 - Swahili Revised Union Version7 Basi watu hamsini wa wale wana wa manabii wakaenda wakasimama, kuwakabili kwa mbali; na hao wawili wakasimama karibu na Yordani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Manabii hamsini wakawafuata mpaka mtoni Yordani. Elia na Elisha wakasimama karibu na mto, nao manabii wakasimama mbali kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Manabii hamsini wakawafuata mpaka mtoni Yordani. Elia na Elisha wakasimama karibu na mto, nao manabii wakasimama mbali kidogo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Manabii hamsini wakawafuata mpaka mtoni Yordani. Elia na Elisha wakasimama karibu na mto, nao manabii wakasimama mbali kidogo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Wana hamsini wa manabii wakaenda na kusimama kwa mbali, kuelekea mahali Ilya na Al-Yasa waliposimama kando ya Mto Yordani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Wana hamsini wa manabii wakaenda na kusimama kwa mbali, kuelekea mahali ambapo Ilya na Al-Yasa walikuwa wamesimama kando ya Mto Yordani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Basi watu hamsini wa wale wana wa manabii wakaenda wakasimama, kuwakabili kwa mbali; na hao wawili wakasimama karibu na Yordani. Tazama sura |