Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 2:20 - Swahili Revised Union Version

20 Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi ndani yake. Wakamletea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Elisha akawaambia, “Tieni chumvi ndani ya bakuli jipya, kisha mniletee.” Nao wakamletea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Elisha akawaambia, “Tieni chumvi ndani ya bakuli jipya, kisha mniletee.” Nao wakamletea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Elisha akawaambia, “Tieni chumvi ndani ya bakuli jipya, kisha mniletee.” Nao wakamletea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, mweke chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, mweke chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Akasema, Nileteeni chombo kipya, mtie chumvi ndani yake. Wakamletea.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 2:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza.


Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, BWANA asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.


Bali mahali penye matope, na maziwa yake, hayataponywa; yataachwa yawe ya chumvi.


Basi kama niishivyo, asema BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, Hakika Moabu atakuwa kama Sodoma, na wana wa Amoni kama Gomora, yaani, milki ya upupu, na mashimo ya chumvi, ukiwa wa daima; watu wangu waliosalia watawateka nyara, na watu wa taifa langu waliobaki watawarithi.


Abimeleki akapigana na huo mji mchana kutwa; akautwaa mji, akawaua watu waliokuwamo ndani yake; kisha akauteketeza mji, na kuutia chumvi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo