Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 2:18 - Swahili Revised Union Version

18 Wakamrudia, alipokuwa anakawia Yeriko; akawaambia, Je! Mimi sikuwaambia, Msiende?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kisha wakarudi kwa Elisha aliyekuwa anawangojea huko Yeriko. Elisha akawauliza, “Je, sikuwaambieni msiende?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kisha wakarudi kwa Elisha aliyekuwa anawangojea huko Yeriko. Elisha akawauliza, “Je, sikuwaambieni msiende?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kisha wakarudi kwa Elisha aliyekuwa anawangojea huko Yeriko. Elisha akawauliza, “Je, sikuwaambieni msiende?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Walipomrudia Al-Yasa, aliyekuwa akingojea huko Yeriko, akawaambia, “Je, sikuwaambia msiende?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Walipomrudia Al-Yasa, ambaye alikuwa akingojea huko Yeriko, akawaambia, “Je, sikuwaambia msiende?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Wakamrudia, alipokuwa anakawia Yeriko; akawaambia, Je! Mimi sikuwaambia, Msiende?

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 2:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamsisitiza hata akaona haya, akasema, Haya! Watumeni. Basi wakatuma watu hamsini; nao wakatafuta siku tatu, wasimwone.


Watu wa mjini wakamwambia Elisha, Angalia, twakusihi, mahali pa mji huu ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo; lakini maji yake hayafai, na nchi huzaa mapooza.


Naye alipoingia Yeriko alipita katikati yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo