2 Wafalme 2:15 - Swahili Revised Union Version15 Na hao wana wa manabii, waliokuwako Yeriko wakimkabili, walipomwona, walisema, Roho ya Eliya inakaa juu ya Elisha. Wakaja kuonana naye, wakainama kifudifudi mbele yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Wale wanafunzi wa manabii kutoka Yeriko walipomwona, walisema, “Roho ya Elia iko kwa Elisha.” Basi, wakaenda kumlaki, wakasujudu mbele yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Wale wanafunzi wa manabii kutoka Yeriko walipomwona, walisema, “Roho ya Elia iko kwa Elisha.” Basi, wakaenda kumlaki, wakasujudu mbele yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Wale wanafunzi wa manabii kutoka Yeriko walipomwona, walisema, “Roho ya Elia iko kwa Elisha.” Basi, wakaenda kumlaki, wakasujudu mbele yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Wale wana wa manabii kutoka Yeriko waliokuwa wakitazama wakasema, “Roho ya Ilya inamkalia Al-Yasa.” Nao wakaenda kumlaki na kusujudu hadi chini mbele yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Wale wana wa manabii kutoka Yeriko waliokuwa wakitazama wakasema, “Roho wa Ilya inamkalia Al-Yasa.” Nao wakaenda kumlaki na kusujudu hadi nchi mbele yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI15 Na hao wana wa manabii, waliokuwako Yeriko wakimkabili, walipomwona, walisema, Roho ya Eliya inakaa juu ya Elisha. Wakaja kuonana naye, wakainama kifudifudi mbele yake. Tazama sura |