Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 16:13 - Swahili Revised Union Version

13 Akaiteketeza sadaka yake ya kuteketezwa, na sadaka yake ya unga, akamimina sadaka yake ya kinywaji, akanyunyiza damu ya sadaka zake za amani, juu ya madhabahu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Alitoa sadaka yake ya kuteketezwa, ya nafaka, na ya kinywaji, akanyunyiza damu ya sadaka ya amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Alitoa sadaka yake ya kuteketezwa, ya nafaka, na ya kinywaji, akanyunyiza damu ya sadaka ya amani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Alitoa sadaka yake ya kuteketezwa, ya nafaka, na ya kinywaji, akanyunyiza damu ya sadaka ya amani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Akatoa sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka, akamimina sadaka ya kinywaji na kunyunyizia damu ya sadaka zake za amani juu ya hayo madhabahu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Akatoa sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka, akamimina sadaka ya kinywaji na kunyunyizia damu ya sadaka zake za amani juu ya hayo madhabahu.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 16:13
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na mfalme aliporudi kutoka Dameski, mfalme akaiona ile madhabahu; mfalme akakaribia madhabahuni, na kutoa sadaka juu yake.


Na ile madhabahu ya shaba iliyokuwako mbele za BWANA, akaileta kutoka mbele ya nyumba, kutoka kati ya madhabahu yake mwenyewe na nyumba ya BWANA, akaiweka upande wa kaskazini wa madhabahu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo