Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Wafalme 15:3 - Swahili Revised Union Version

3 Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, kama yote aliyoyafanya babaye Amazia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu sawasawa na yote baba yake aliyotenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu sawasawa na yote baba yake aliyotenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu sawasawa na yote baba yake aliyotenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Akatenda yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu, kama Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Akatenda yaliyo mema machoni pa bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, kama yote aliyoyafanya babaye Amazia.

Tazama sura Nakili




2 Wafalme 15:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, Asa akafanya yaliyo mema machoni pa Mungu, kama alivyofanya babaye Daudi.


Alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na miwili huko Yerusalemu. Na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA; akafanya kama yote aliyoyafanya Uzia baba yake.


Ila mahali pa juu hapakuondolewa, nao watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza uvumba katika mahali pa juu.


Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na miwili; na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Amazia babaye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo