2 Wafalme 13:9 - Swahili Revised Union Version9 Yehoahazi akalala na babaze; wakamzika katika Samaria. Na Yehoashi mwanawe akatawala mahali pake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Yehoahazi alifariki na kuzikwa huko Samaria, naye mwanawe Yehoashi akawa mfalme mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Yehoahazi alifariki na kuzikwa huko Samaria, naye mwanawe Yehoashi akawa mfalme mahali pake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Yehoahazi alifariki na kuzikwa huko Samaria, naye mwanawe Yehoashi akawa mfalme mahali pake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Yehoahazi akalala na baba zake, akazikwa huko Samaria. Naye Yehoashi mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Yehoahazi akalala pamoja na baba zake, akazikwa huko Samaria. Naye Yehoashi mwanawe akawa mfalme baada yake. Tazama sura |