2 Wafalme 11:7 - Swahili Revised Union Version7 Na sehemu mbili zenu, yaani, wote watokao siku ya sabato, mtayalinda malinzi ya nyumba ya BWANA kumzunguka mfalme. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Yale makundi mawili ambayo humaliza zamu yao siku ya Sabato yatashika zamu katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kumlinda mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Yale makundi mawili ambayo humaliza zamu yao siku ya Sabato yatashika zamu katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kumlinda mfalme. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Yale makundi mawili ambayo humaliza zamu yao siku ya Sabato yatashika zamu katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu kumlinda mfalme. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Nanyi ambao mko katika makundi mengine mawili ambao kwa kawaida hupumzika siku ya Sabato, wote mtalinda Hekalu kwa ajili ya mfalme. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 nanyi ambao mko katika makundi mengine mawili ambao kwa kawaida hupumzika Sabato, wote mtalinda Hekalu kwa ajili ya mfalme. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI7 Na sehemu mbili zenu, yaani, wote watokao siku ya sabato, mtashika zamu za ulinzi katika nyumba ya BWANA kumzunguka mfalme. Tazama sura |