2 Wafalme 11:5 - Swahili Revised Union Version5 Akawaamuru, akasema, Hili ndilo neno mtakalolifanya; theluthi yenu, mtakaoshika zamu siku ya sabato, mtalinda kasri ya mfalme; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kisha akatoa amri: “Mtafanya hivi: Mtakapokuja kushika zamu siku ya Sabato, theluthi moja italinda ikulu; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kisha akatoa amri: “Mtafanya hivi: Mtakapokuja kushika zamu siku ya Sabato, theluthi moja italinda ikulu; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kisha akatoa amri: “Mtafanya hivi: mtakapokuja kushika zamu siku ya Sabato, theluthi moja italinda ikulu; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Akawaamuru akisema, “Hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Ninyi ambao mko makundi matatu mnaoingia zamu siku ya Sabato, theluthi moja italinda jumba la kifalme, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Akawaamuru akisema, “Hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Ninyi ambao mko makundi matatu mnaoingia zamu siku ya Sabato, theluthi yenu inayolinda jumba la kifalme, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Akawaamuru, akasema, Hili ndilo neno mtakalolifanya; theluthi yenu, mtakaoshika zamu siku ya sabato, mtalinda nyumba ya mfalme; Tazama sura |