2 Wafalme 11:3 - Swahili Revised Union Version3 Alikuwako pamoja naye, amefichwa nyumbani mwa BWANA, miaka sita. Naye Athalia akaitawala nchi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Yoashi alikaa naye kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakati Athalia alipokuwa akitawala nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Yoashi alikaa naye kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakati Athalia alipokuwa akitawala nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Yoashi alikaa naye kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu, wakati Athalia alipokuwa akitawala nchi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Alibaki amefichwa pamoja na yaya wake katika Hekalu la Mwenyezi Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Alibaki amefichwa pamoja na yaya wake katika Hekalu la bwana kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Alikuwako pamoja naye, amefichwa nyumbani mwa BWANA, miaka sita. Naye Athalia akaitawala nchi. Tazama sura |