Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Timotheo 4:19 - Swahili Revised Union Version

19 Nisalimie Priska na Akila, na wale wa nyumbani mwa Onesiforo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani mwa Onesiforo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Nisalimie Priska na Akila, na wale wa nyumbani mwa Onesiforo.

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 4:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi sawa na hayo?


Baada ya hayo Paulo akazidi kukaa huko siku nyingi, kisha akaagana na ndugu akaabiri kwenda Shamu; na Priskila na Akila wakaenda pamoja naye, alipokwisha kunyoa kichwa chake huko Kenkrea; maana alikuwa ana nadhiri.


Akamwona Myahudi mmoja, jina lake Akila, mzalia wa Ponto; naye amekuja kutoka nchi ya Italia siku za karibu, pamoja na Priskila mkewe, kwa sababu Klaudio amewaamuru Wayahudi wote watoke Rumi, naye akafika kwao;


Akaanza kunena kwa ujasiri katika sinagogi; hata Priskila na Akila walipomsikia wakampeleka kwao, wakamweleza njia ya Bwana kwa usahihi zaidi.


Makanisa ya Asia wawasalimu. Akila na Priska wawasalimu sana katika Bwana, pamoja na kanisa lililoko ndani ya nyumba yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo