Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Timotheo 3:4 - Swahili Revised Union Version

4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wanaopenda anasa kuliko kumpenda Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wapendao anasa zaidi kuliko kumpenda Mwenyezi Mungu:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 3:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, imewapasa kutulia; msifanye neno la haraka haraka.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Vema. Yalikatwa kwa kutoamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.


Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu.


Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.


Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.


Watu hao ndio waletao utengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.


Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo