Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Timotheo 2:17 - Swahili Revised Union Version

17 na neno lao litaenea kama donda ndugu. Miongoni mwa hao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Mafundisho ya aina hiyo ni kama donda linalokula mwili. Miongoni mwa hao waliofundisha hayo ni Humenayo na Fileto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 na neno lao litaenea kama donda ndugu. Miongoni mwa hao wamo Himenayo na Fileto,

Tazama sura Nakili




2 Timotheo 2:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Huko moto utakuteketeza; Upanga utakukatilia mbali; Utakumeza kama tunutu alavyo; Jifanye kuwa wengi kama tunutu! Jifanye kuwa wengi kama nzige!


Lakini Wayahudi wasioamini wakawataharakisha watu wa Mataifa na kuwatia nia mbaya juu ya ndugu.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.


Dhahabu yenu na fedha yenu zimeingia kutu, na kutu yake itawashuhudia, nayo itakula miili yenu kama moto. Mmejiwekea akiba katika siku za mwisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo